Subscribe Us

Header Ads

Ruksa mashabiki kuwepo uwanjani mechi ya Tanzania Prisons dhidi ya Simba

Serikali kupitia Wizara Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Baraza la Michezo nchini BMT imekubali kuingia kwa mashabiki katika mchezo wa VPL kati ya Tanzania Prisons vs Simba
 utakaopigwa kesho katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.