Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la Chama cha CUF limemsimamisha Uongozi Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Zanzibar, Abbas Juma Muhunzi kwa kukiuka Maadili ya Uongozi
Baada ya wajumbe wa Baraza kupokea tuhuma hizo mlalamikiwa alipewa nafasi ya kujitetea na kukiri kufanya makosa yaliyoelekezwa kwake ambapo wajumbe 42 kati ya 55 waliridhia Muhunzi kusimamishwa Uongozi
