Subscribe Us

Header Ads

Henock Inonga Baka BEKI Bora Msimu Huu Ligi Kuu Tanzania


 


Mshambuliaji wa Polisi Tanzania, Daruweshi Saliboko amemtaja beki wa Simba, Henock Inonga Baka kuwa ndio Beki Bora msimu huu;

“Kwa mtazamo wangu ukiniambia nitaje beki bora msimu huu basi nitasema ni Inonga, kwani nimemshuhudia uwanjani tulipocheza na Simba na pia namuangalia akicheza dhidi ya timu nyingine,” amesema Saliboko na kuongeza:

“Beki anayejiamini na anaongoza wengine, tofauti na baadhi ya tabia za wachezaji ambao wanakuwa waoga kukumbushana majukumu mmoja anapojisahau.”